Joshua ni msomi wa "Sociology" toka Chuo Kikuu Dar-es-Salaam. Alipokuwa chuoni alikuwa Spika wa Serikali ya wanafunzi na kusimamia maslahi ya wanafunzi na amekuwa mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya vijana kwa muda mrefu.
Vile vile anwani ya blogu ya Halima Mdee mgombea wa jimbo la Kawe-CHADEMA akikaribisha kufuatilia matukio ya kampeni zake kupitia blogu ya jimbolakawe.blogspot.com
Bofya picha kupata maelezo yanayoambatana na picha husika.







No comments:
Post a Comment