Wadau wa facebook

Maelezo

Kwa matukio na matangazo wasiliana nasi Simu no' {301}728-3977. Email:swahilivilla@gmail.com

Friday, December 24, 2010

JIJINI DAR VETA YAFANYA MAHAFALI !


SHABANI Himidi (7) anayetarajiwa kuanza darasa la kwanza mwakani katika shule ya Green Hill, Dar es Salaam, akionyesha 'machejo' ya kucheza wimbo wa 'uwe' wa kundi la Makhiri khiri, katika mahafali hayo


Polisi na watu wengine wakimtuza hela kibao mtoto huyo baada ya kuwachen gua kwa machejo yake.


Wahitimu wa mambo ya ulimbwende na saluni wakijimwanyamwaya uwanjani wakati wa mahafali hayo.

Mapolisi wa usalama barabarani , Joseph Mgeri na Anthony Ichuragiza, wakiwa na vyeti vayao walivyotunukiwa kwa kufuzu mafunzo ya ukaguzi magari katika mahafali hayo

No comments:

Post a Comment