
Mambo ya show ya Victoria’s Secret. mdada Mwana mitindo Maryna Linchuk pole pole mwendo wamaringo na zake pozi, akikatiza kwenye njia ya kujidai katika show ya Victoria’s Secret 2010 jijini New york City.

Hii ndio hali halisi show ya Victoria’s Secret kama tunavyomuona mwanamitindo Candice Swanepoel anavyojivinjari ndani ya 18 kama yuko down town kwenye show ya mitindo ya Victoria’s Secret iliyo fanyika Nov 10,2010 Jijini NEW YORK CITY.

Mwana mitindo Lily Donaldson akijimwaga kwa mapigo ya chapa nikuchape, nyuma kimtindo wa tausi denge wafahari, huku akijipinda kama al batwaah anaevutiaa, kwenye show ya Victoria’s Secret iliyofanyika kwenye mitaa ya Lexington Avenue Armory November 10, 2010 Jijini New York City. (Picha kutoka kwa albamu ya Theo Wargo)



Mshambuliaji anae chipukia kwa kasi wa Newcastle utd Andrew Carroll amesema anataka kuweka pembeni majanga yaliomkuta ambayo yamemfanya awe anaonekana mahakamani mara kwa mara na kuwa mcheza muhimu kwa Taifa lake.














Tovuti ya Wikileaks, maarufu kwa kutetea sera za uwazi, imeanza kuchapisha mawasiliano ya siri kati ya balozi za Marekani kuhusu viongozi wakuu duniani.
Baadhi ya mawasiliano yaliochapishwa ni yale kati ya Mfalme Abdullah wa Saudi Arabia na Marekani, pale alipopendekeza vikali kuwa Iran ishambuliwe kijeshi.
Serikali ya Marekani imekashifu hatua hiyo ya kuchapisha mawasiliano hayo. Imesema kuwa kitendo hicho kinahatarisha maisha na mabalozi wake.