Wadau wa facebook

Maelezo

Kwa matukio na matangazo wasiliana nasi Simu no' {301}728-3977. Email:swahilivilla@gmail.com

Saturday, January 15, 2011

FILAMU YA HOUSE NUMBER FORTY FOUR YAZINDULIWA

Baby madaha akiwa na msanii Jack wakati wa uzinduzi wa filimu ya NUMBER FORTY FOUR ,BABY ni mmoja wa washiriki katika filamu hiyo.

Baadhi ya washiriki wa filamu wakati wa uzinduzi.

Hao nao walisindikiza rafiki zao.

Filamu ya HOUSE NUMBER FORTY FOUR iliyowashirikisha wasanii wa filamu wa Tanzania imezinduliwa rasmi Jijini DSM

No comments:

Post a Comment