Naibu Waziri wa Ujenzi Dr. Harrison Mwakyembe (mwenye shati la marembo) Dr. Harrison Mwakyembe akiongea jana na baadhi ya wachimbaji kokoto katika eneo la Kunduchi jijini Dar es salaam alipofanya ziara ya kuangalia shughuli za uchimbaji kokoto (mwenye shati jeupe) Ni Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Ujenzi Balozi Hebert Mrango. (Na mpiga picha wetu).

No comments:
Post a Comment