Wadau wa facebook

Maelezo

Kwa matukio na matangazo wasiliana nasi Simu no' {301}728-3977. Email:swahilivilla@gmail.com

Sunday, January 16, 2011

NDANI YA BONANZA LA VODA KWA VYUO VIKUU DAR

Mshambuliaji wa timu ya Chuo Kikuu cha Tiba cha kumbukumbu ya Hurbert Kairuki, Joseph Mtombabali (kushoto) akimtoka mchezaji wa Chuo Kikuu cha IMTU, Edwin Alphage wakati wa mchezo wa bonanza lililofanyika katika shule ya Msingi, Mikocheni Dar es Salaam jana. Bonanza hilo liliandaliwa na kampuni ya Vodacom Tanzania.

No comments:

Post a Comment