Mh. Balozi Mwanaidi Maajar akijitambulisha rasmi kwa watanzania waliojitokeza states mbali mbali, pamoka na watanzania wanaoishi hapa washington DC, 
Watanzania mbali mbali waliohudhurika katika mkutano wa Mh. Balozi kujitambulisha rasmi kwa Watanzania washio katika eneo la Washington DC Metro.


Mh. Balozi Mwanaidi Maajar (Katikati) akiwa na Viongozi waliochaguliwa kuunda kamati ya muda itakayoandaa katiba mpya ya watanzania waishio Washington DC Metro. Ndio hawa hapa mnaowa waona katika picha. (Picha swahilivilla.)

No comments:
Post a Comment