Wadau wa facebook

Maelezo

Kwa matukio na matangazo wasiliana nasi Simu no' {301}728-3977. Email:swahilivilla@gmail.com

Sunday, January 30, 2011

Watanzania Wa Washington DC (DMV) Wafanikiwa Kuunda Jumuiya Na Kuchagua Viongozi Wampito

Mh. Balozi Mwanaidi Maajar akijitambulisha rasmi kwa watanzania waliojitokeza states mbali mbali, pamoka na watanzania wanaoishi hapa washington DC,

Watanzania mbali mbali waliohudhurika katika mkutano wa Mh. Balozi kujitambulisha rasmi kwa Watanzania washio katika eneo la Washington DC Metro.

Mh. Balozi Mwanaidi Maajar (Katikati) akiwa na Viongozi waliochaguliwa kuunda kamati ya muda itakayoandaa katiba mpya ya watanzania waishio Washington DC Metro. Ndio hawa hapa mnaowa waona katika picha. (Picha  swahilivilla.)

No comments:

Post a Comment