Wadau wa facebook

Maelezo

Kwa matukio na matangazo wasiliana nasi Simu no' {301}728-3977. Email:swahilivilla@gmail.com

Tuesday, April 26, 2011

AJALI YA GARI MAHONDA ZANZIBAR...!!!






WANANCHI wakiangalia gari ya kuchukuwa Watalii ikiwa imeacha njia ikitokea Kiwengwa na kuingia katika duka maeneo ya Mahonda na kujeruhi watu watatu pamoja na kuharibu sehemu hiyo.

No comments:

Post a Comment