"Sio kama wameshinda ila wametae game yani wametoa drow, "kwenye mchezo wa mwazo mmeshinda bao 3-2 mechi ya marudiano wametae 6-1 mchezo umekuwa sawa sawa hakuna mshindi sasa subirini mechi ya tatu atakaeshinda hapo ndio atajulikana nani zaidi kati ya Bongo Real na Unyarugusu"
Ndivyo asemavyo Mrembo wa timu hiyo pale ulipomaliza mchezo wa jumamosi dhidi ya Bongo real Vs Unyarukusu siku ya jumapili ya wiki iliyopita!
Mchezaji wa Bongo Real Winger ya kulia Khalid Londa akipata flash ya pamoja na mwana dada Jamila kwenye mechi ya marudiano katia Unyarugusu Vs Bongo Real. ndani ya kiwanja cha Meadowbrook Park Maryland nchini Marekani.
Vile vile kwawale wachezaji waliojaliwa kuwa na familia zao pia mnakaribishwa kuja kujumuika pamoja kuchoma nyama kwenye Park ya Meadowbrook Park. Watanzania nyote mnakaribishwa tule nyama choma .
Ndivyo asemavyo Mrembo wa timu hiyo pale ulipomaliza mchezo wa jumamosi dhidi ya Bongo real Vs Unyarukusu siku ya jumapili ya wiki iliyopita!
Wakati huo huo tumepata habari hivi punde kutoka kwa Captain wa Bongo Real, Ali Tumbo ya kwamba ile (NYAMA CHOMA NDIZI KWA CHACHANDU) Itakuwa siku ya jumapili hii Julai'31/2011 mida ya
4: PM mpaka juaa kuzama.

No comments:
Post a Comment