Wadau wa facebook

Maelezo

Kwa matukio na matangazo wasiliana nasi Simu no' {301}728-3977. Email:swahilivilla@gmail.com

Friday, November 25, 2011

KUNA VITU WAKATI MWENGINE UNAVITAMANI LAKINI HUVIPATA


Na hata ukivipata haviwe kama vya nyumbani, huyo ni pwenza  aliekolea full chachandu na vijiti vya kunasua nyama ndani ya meno umeekewa, amakweli nyumbani ni nyumbani, huku hatuvipati  na hata tukivipata basi haviwi kama kwenye picha vinavyoumiza rogo mhhh!

2 comments:

  1. isee mjomba mie mate/denda linanitoka kuona picha tuu walahi.........lol(Meya seattle wa A.Dola)

    ReplyDelete
  2. Haha Amin nilijua watatokwa na mate wingi tu maana inatamanisha

    ReplyDelete