Wadau wa facebook

Maelezo

Kwa matukio na matangazo wasiliana nasi Simu no' {301}728-3977. Email:swahilivilla@gmail.com

Thursday, March 29, 2012

MAAZIMISHO YA MIAKA MIWILI YA VIJIMAMBO



MABADILIKO YA RATIBA

Kutokana na Timu za Serengeti Boyz ya Houston (TX) na Kili Stars ya North Carolina kushindwa kufika kwa sababu zilizokua nje ya uwezo wao
Sasa Sherehe zitaanzia saa 4:00 Asubuhi (10:00am) Mpaka saa 12:00 jioni (6:00 pm) kwa mechi za soccer kugombea Kombe la VIJIMAMBO timu zitakazoshiriki ni:
Burundi kutoka Arizona
Tanzanite kutoka Atlanta, GA
Tanzania DMV, Vitambi FC Wakenya Kutoka DC
na Stars United.

Mechi zitachezewa
8000 Walker Mill Rd,Capitol Heights, MD 20747

Na kufuatiwa na Sherehe ya usiku zitakazoanza saa 1:00 jioni (7:00 pm) Tafadhali naomba uzingatie muda.
RADIO MBAO ITARUSHA PARTY YA VIJIMAMBO LIVE

Napenda kutoka shukurani kwa Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani, Wadhamini waliojitokeza na shukurani za pekee ziwaendee Wadau wa VIJIMAMBO waliojitokeza na kujitolea kuleta chakula, vinywaji na kupamba ukumbi ili sote kwa pamoja tufanikishe sherehe hizi kwani pamoja tunaweza.

PARTY YA USIKU NI KWA WATU WAZIMA TU

No comments:

Post a Comment