Jumuiya ya watanzania waishio MD, VA, na DC inawaomba watanzania wenye ujuzi wa kutengeneza websites watume maombi yao kwa mwenyekiti kamati ya mawasiliano kupitia email ifuatayo atcdmv@gmail.com ambatanisha nakala ya CV kwenye email kama word attachment. Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 25 May, 2012 saa sita usiku.
KATIBU

No comments:
Post a Comment