Hatimaye Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye pia ni mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi visiwani humo, Dk. Ally Mohamed Shein, amefunguka kuhusiana na vurugu zilizozuka na kudumu visiwani humo kwa siku tatu tokea Jumamosi hadi Jumatatu ya wiki hii.
Rais Shein, amefanya hivyo mchana wa leo mbele ya waandishi wa habari aliokuwa amewaita sanjari na Mawaziri wake wote, ikiwa ni sehemu ya utaratibu wake wa kukutana nao kila baada ya miezi mitatu, ambapo katika mkutano huo, mbali ya Dk. Shein kuchimba mkwara juu ya mtu yeyote anayedhamiria kuvunja amani na utulivu wa visiwani humo, ametoa kauli ambayo binafsi imenichanganya.
Akiongelea tukio hilo, Dk Shein amenukuliwa mahali akitamka maneno “…..hautukuyatarajia, lakini tuliyatizamia…”, maneno ambayo binafsi yameniongezea swali jingine mbali ya lile la awali nililokuwa najiuliza.
Awali, nilikuwa najiuliza, ni kwanini mtawala mkuu kabisa katika visiwa hivyo alikaa kimya kwa siku zote tatu wakati vurugu hizo zikiendelea, ambapo hata vyombo vya habari havikuwahi kumuonyesha akiwa anafuatilia kwa ukaribu suala hilo?
Lakini sasa, kauli ya leo, ndio imezidi kunichanganya zaidi kwani imenifanya nijiulize ni nini hasa anachomaanisha anaposema hawakuyatarajia lakini waliyatizamia?
For her hardwork, Ainte was awarded the Refugee Woman of the Year accolade. (PHOTOS by John Agaba)
By John Agaba
You would expect a woman whose all life has been a struggle—bearing 12 children, watching her country thrown up into turmoil and her man die before finally running away to stay in a refugee camp—to look gawky, tired, and helpless.
But Halima Ali Ainte is no such woman. Being Uganda’s Refugee Woman of the Year, she looks very alive.
With a veil over her head, Somali-born refugee looks you straight in the eyes. And when she speaks, her voice is firm. She’s not afraid. Maybe she’s been through a lot to be scared anymore as if living by the saying, ‘what doesn’t kill you makes you stronger’.
Ainte entered Uganda as a refugee from Mogadishu, Somalia in 2006. She enrolled at the Nakivale refugee camp in Rwampara, Isingiro, western Uganda. Soon, she would be that woman to mother-chaperon other refugees.
Benki ya Ujerumani-Deutsche Bank inapata uongozi mpya kuanzia kesho,kufuatia kumalizika kwa enzi ya mwenyekiti maaruf wa benki hiyo Josef Ackermann
Kuanzia hapo kesho benki hiyo kubwa kabisa nchini Ujerumani itaongozwa na watu wawili Anshu Jain na Jürgen Fitschen.
.Wenye hisa zaidi ya alfu tano katika Benki hiyo ya Ujerumani wanatarajiwa kuhudhuria mkutano wa mwaka wa Benki hiyo ambapo wenyeviti wenza watakaoiongoza watatambulishwa mjini Frankfurt. Pamoja na Mjerumani Jürgen Fitschen ni Anshu Jain kutoka India.
Siyo lazima kiongozi wa benki hiyo awe Mjerumani na hivyo moja kwa moja kuweza kuwa mshirika muhimu wa mazungumzo na serikali ya Ujerumani. Dhima hiyo ilitimizwa na viongozi waliotangulia Hermann-Josef Abs,Alfred Herrhausen na Josef Ackermann ambaye ni Mswisi.
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel hata alifikia hatua ya kuandaa tafrija kwa heshima ya bwana Ackermann aliekuwa anatimiza umri wa miaka 60 japo hafla hiyo haikupita bila ya utata.
Analysts have expressed fears that a three-decade old controversial emergency law in Egypt may be extended on Thursday. (Al Arabiya)
By AL ARABIYA
Today Egypt’s controversial three-decade-long emergency law expires amid speculations on the possibility of another extension and concerns about the stance of the Islamist-dominated parliament.
According to observers, the Muslim Brotherhood and its political wing the Freedom and Justice Party will be subject to harsh criticism in case the parliament proposes an extension to the law, especially in the light of the remarkable drop in the group’s popularity following the performance of its members in the lower house of parliament, the People’s Assembly.
The stance of Brotherhood presidential candidate Mohammed Mursi in case he wins the elections was also brought into question. Mursi’s campaign was quick to respond and stress that in case Mursi becomes president, he will never seek an extension for the emergency law.
Kwa niaba ya uongozi wa tawi la CHADEMA Washington DC. napenda kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu wote walio hudhuria ufunguzi wa tawi la CHADEMA uliofanyika Tarehe 27 May 2012 Washington DC nchini Marekani katika ukumbi wa Mirage Maryland.
Aidha nawashukuru wageni waalikwa, Naibu katibu mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Kabwe, Mbunge wa Viti maalum kutokea Jimbo la Kwimba Mama Leticia Nyerere, Mbunge wa Iringa mjini Mh. Peter Msigwa, Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh. Joshua Nassari na Mbunge wa Viti maalum kutokea Zanzibar Mh. Mariam Msabaha kwa kutumia muda wao wa thamani kukaa na watanzania tuishio Marekani kubadirishana mawazo na kutuelezea mstakabari wa nchi yetu (Mama Tanzania) kijamii, kiuchumi na kisiasa.
Mwisho napenda kuwashukuru watanzania wote walio hudhuria mkutano huu. Kwa kweli tumefarijika sana kuona utayari wa mioyo yenu kutaka mabadiliko (M4C) na uwazi wa kujielezea mawazo yenu bila kua na hofu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA.
Ahsanteni sana kwa ushirikiano wenu usio na mipaka
Discoveries of uranium, oil and gas in East Africa could destabilize the region unless member states have in place meaningful plans on how to utilize and protect the resources from falling into wrong hands.
President Jakaya Kiwete (Right) in conservation with Ivory Coast’s Allasane Ouattara.
Some experts have warned that ineffective monitoring of mining and other resource operations could render them a curse for most African countries.
This was among the observations of a panel of experts who were discussing ‘Opportunities for job creation and greater economy growth,’ during the ongoing African Development Bank (AfDB) series of meetings taking place here.
The experts also noted that it was high time African countries refrained from leasing out such resources to foreign companies if the stability in the region was to be sustained.
“As long as they do not expire, the natural gas, uranium and oil deposits should not be tapped in haste until, Tanzania, Uganda and Kenya where these resources are being discovered are ready and have trained their youth populations to work or invest in the minerals,” stated Dr Semboja Haji Hatibu of the University of Dar-es-Salaam.
Baaada ya kazi kubwa ya kuzindua na kuimarisha tawi la chadema Washington Dc Maryland na Virginia,Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Mhe. Peter Msigwa na Mhe. Nassari Joshua, Al-Marufu Dogo janja, Usiku wa Jana Jumatano Mei 30,2011 waagwa rasmi kwa kuangalia mpambano wa kimataifa kati ya US na Brazil ndani ya uwanja wa Fedex, uliopo Landover Maryland Nchini marekani
Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe, Peter Msigwa na Mhe. Nassari Joshua, Al-Marufu Dogo janja, wakiwa na uwongozi wa tawi la Chadema Washington Dc Libe Mwangombe, wanne, Mjomba a.k.a Cosmas, Mzee wa swahilivilla Aboh Shatry wa pili kulia, pamoja na mashabiki wa US, wakiiunga mkono bendera ya taifa. (Picha maelezo na swahilivilla.blog spot.com)
Wabunge wa chama cha Chadema wakipata flash ya pamoja na warembo wa Kibrazil ndani ya uwanja wa FedexField, uliopo Landover Maryland Nchini marekani.(Picha maelezo na swahilivilla.blog spot.com)
Picha ya pamoja na viongozi wa juu wa Chadema kwenye mpambano wa US na Brazil Usiku wa kuamkia leo Alhamis Mei 31,2012 ndani ya ndani ya uwanja wa Fedex, uliopo Landover Maryland Nchini marekani
Nabendera ya Taifa wakishangilia Bao la kwanza la Brazil lilifungwa kwa Penalti na mchezaji Neymar
Wachezaji wa Brazil wakilinda ngome yao kwa kuwadhibiti timu ya US kwenye mechi hiyo ya kirafiki ambapo timu ya Brazil waliweza kuwabamiza US bao 4-1 nyumbani kwao.
US. hoi kwa Brazil baada ya kubamizwa bao nne bao la kwanza lilifungwa na Neymar, na lapili na Thiago mnamo wa dakika ya 11, kipindi cha kwanza. bao la US lilifungwa na Hercules Gomes dakika ya 44 kipindi chakwanza hadi mapumziko Brazil 2 US 1 kwenye mchezo wa kirafiki. (Picha maelezo na swahilivilla.blog spot.com)
Forward wa United States Landon Donovan, akipandisha majeshi juu huku alidhibitiwa na Brazil defender Marcelo wa Brazi katika mpambano wa kirafiki.
Juma lilipopita, Katibu wa Jumuiya ya waTanzania waishio Washington DC na vitongoji vyake alitoa taarifa HII kuhusu hali ya mTanzania mwenzetu na ndugu yetu, Bwana Domitian Rutakyamirwa aliyelazwa chumba namba 523 katika hospitali ya Chuo Kikuu cha George Washington iliyopo 900 23rd St., NW. Washington, DC 20037.
Bado hali ya ndugu Domi (kama anavyofahamika kwa wengi) siyo nzuri hivyo maombi pamoja na dua vyahitajika ili Mwenyezi Mungu aweze kumuangazia.
Pamoja na maombi, leo hii, familia ya Ndg Domi itakutana na ndugu, jamaa na marafiki kujadili masuala kadhaa kuhusu hali yake.
Unakaribishwa kuhudhuria na kutoa mchango wako wa mawazo katika yale yatakayojadiliwa.
Alaa (R) and Gamal (L) Mubarak will go on trial in a criminal court with seven other defendants to face charges of alleged stock market manipulation. (AP)
By AL ARABIYA WITH AGENCIES
The two sons of Egypt's ousted President Hosni Mubarak will face charges in a criminal court of alleged stock market manipulation, state television reported on Wednesday, three days before a court was due to issue a verdict in a separate trial for their role in alleged corruption.
The official Nile Television reported that Alaa and Gamal Mubarak will go on trial in a criminal court with seven other defendants. They and their father are facing a verdict on June 2 on corruption charges in the first trial.
The ex-president, who was toppled in an early 2011 revolt, also faces murder charges with seven security commanders for killings of protesters during the 18-day uprising that ended his 30-decade rule.
The official MENA news agency reported that the charges stem from the sale the Al Watany Bank of Egypt, without providing further details.
Gamal, 48, headed a powerful policy committee in the ruling party under his father and was widely seen as the heir apparent, a perception that helped fuel the uprising.
Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar, pamoja na Kaimu Balozi Mhe Lilian Munanka walipo kutana na uwongozi mzima na Wawekezaji wa Shirika la Nyumba La Taifa (NHC) ndani ya Ubalozi wa Tanzania Washington DC
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemiah Mchechu pamoja na mkurugenzi mkuu wa TMRC (Tanzania Mortgage Refinance Company) na Mkurugenzi Mkuu Azania Bank, pamoja na Maofisa wa benk mbali mbali. ndani ya Ubalozi wa Tanzania wakibadilishana mawazo Mh. balozi katika mpango mzima wa suala la mikopo ya nyumba.
Vile vile Jopo hilo litakukutana na wana Jumuia ya waTanzania waishio DMV siku ya Ijumaa June 1, 2012 kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani, Kuzungumzia utaratibu mzima wa suala la mikopo ya nyumba (Tanzania Mortgage Refinance Company) ili Mtanzania aliekuwepo njee ya nchi nae kufaidika na mradi huo wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)
Kuhudhuria katika mkutano huo ni lazima ujiandikishe kwa kupitia Email: atcdmv@gmail.com
Fika katika mkutano hilo la
ADDIS ABABA — Top negotiators for Sudan and South Sudan have held their first talks since deadly border fighting last month took them to the brink of war, even as Juba accused Khartoum of fresh air strikes.
Teams from both sides are in the Ethiopian capital for African Union-led talks (AFP, Jenny Vaughan)
Teams from both sides are in the Ethiopian capital for African Union-led talks which were stalled by heavy clashes last month, the worst fighting since the South won independence last July.
Khartoum stressed Tuesday its “commitment to reach a negotiated settlement to all issues of differences” and promised “its full adherence to peace and stability between the two countries,” it said in a statement released as talks began.
Sudan added that it hoped the talks would mark a “new chapter” in relations “away from conflict and warring.”
Southern President Salva Kiir said ahead of the Tuesday talks that “amicable dialogue on the outstanding issues with Khartoum is the only option for peace.”
The UN Security Council earlier this month ordered both sides to cease fighting and return to talks or face possible sanctions.
Mjumbe maalum wa kimataifa kwa Syria,Kofi Annan amemtaka rais Bashar al Assad akomeshe haraka umwagaji damu,huku Marekani na Japan zikijiunga na nchi za magharibi na kuwafukuza mabalozi wa Syria.
Damu inaendelea kumwagika nchini Syria-jana tu,wakati mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa na jumuia ya nchi za kiarabu anaendeleza juhudi za kuuokoa mpango wake wa amani,watu wasiopungua 98 wanasemekana wameuliwa-wengi wao ni raia wa kawaida.Na leo pia watu wanne wanasemekana wameuliwa kufuatia mapigano kati ya jeshi na waasi katika kitongoji cha Sitt Zeinab karibu na mji mkuu Damascus.
Kwa upande wa kidiplomasia,uamuzi wa kuwafukuza mabalozi wa Syria, unaonyesha ni wa makubaliano miongoni mwa nchi za umoja wa Ulaya,zikifuatiwa na Marekani,na serikali nyengine za dunia mfano wa Australia,Canada,Uswisi na Japan-na ni jibu la mauwaji ya awali huko Houla ambako watu wasiopungua 108 waliuliwa.
Baada ya mazungumzo pamoja na rais Bashar Al Assad jana,mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa na jumuia ya nchi za kiarabu Kofi Annan ametahadharisha akisema hali inatisha na kuongeza"Wananchi wa Syria hawataki kuwa na mustakbal wao uwe wa umwagaji damu na mgawanyiko.Hata hivyo mauwaji yanaendelea kila kukicha sawa na haki za binaadam zinavyoendelea kuvunjwa."
Mwanadiplomasia hiyo wa kutoka Ghana amewaambia waandishi habari amemhimiza rais Bashar al Assad apitishe hatua madhubuti,kama anavyosema" leo na sio kesho" ili mpango wa amani wa vifungu sita uheshimiwe.
Communications regulators from the East African Community (EAC) making up the East African Communications Organization (EACO) on Monday began a five-day congress to look at ways of easing communications and radio development in the EAC bloc.
Concilie Nibigira, Burundi’s Minister of ICT
Speaking at the official launch of the congress, Burundian Communication and Telecommunications Minister Concilie Nibigira said the communications sector still faces challenges. “Challenges still hampering the effectiveness of the broadband include international traffic regulations whereby tariffs have not yet been negotiated,” Nibigira told congress persons from the five EAC countries including Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda.
The Burundian minister expressed her hope that those challenges would be discussed during the congress. She pledged Burundi is doing all it can to make “dynamic” the sector of communications through moving from the analog system to the digital system. Nibigira also said the installation of the submarine cable delayed because Burundi does not have access to the sea, but stressed the east African nation is doing its best to get connected to it before the end of this year.
Baada ya kazi pevu ya uzinduzi wa tawi la Chadema jijini Washington Dc wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamtembelea rasmi Balozi wa Tanzania nchini Marekani.
Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar akipata picha ya pamoja na Mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Peter Msigwa ndani ya Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani
Wabunge wa Chadema Mhe. Peter Msigwa wapili kushoto, Mhe. Nassari Joshua, Al-Marufu Dogo Janja, (Watatu kulia), ofisa wa ubalozi Mhe. Peter Msigwa, Kaimu Balozi Mhe Lilian Munanka pamoja na viongozi wa tawi la Chadema Washington Dc wakipata picha ya pamoja na balozi Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar baada ya kumtembelea rasmi siku ya Jumanne Mei 29,2012 Washington Dc Nchini Marekani.
Mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Peter Msigwa akipata picha ya pamoja na waTanzania waishio nchini Marekani, ndani ya Ubalozi wa Tanzania Washington Dc. (Picha na swahilivilla.blogspot.com)
Chama cha Wananchi(CUF) kimewataka wananchi kutulia na Serikali kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha vurugu zilizotokea mwishoni mwa wiki Mjini Zanzibar.
Taraifa ya Chama hicho kwa vyombo vya habari iliyotiwa saini na Mkurugenzi wa Uenezi na Mahusiano na Umma,Salim Bimani ilisema “Chama cha CUF kinatoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu, wavumilivu na kuitumia fursa ya kutoa mawazo yao bila jazba na kutowanyima wengine nafasi ya kuwasilisha mawazo yao”
Taarifa hiyo ilisema kwamba vitendo vya watu wachache kuchoma makanisa moto na kuharibu mali za watu ni bvya uvunjifu wa sheria na kinyume na utamaduni wa Kizanzibari.
“Uchunguzi wa kina ufanyike na waliohusika wachukuliwe hatua za kisheria bila uonevu wala upendeleo” Alisema Bimani katika taarifa yake hiyo ambayo pia alisema kwamba ni lazima kwa wakati huu na kwa haraka iwezekanavyo, Serikali izungumze na Mashekhe bila ya kuona muhali na kwa uwazi kabisa ili kutafuta suluhu ya kudumu kwa faida ya nchi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal amekutana na Waziri wa Maendeleo wa Finland Mheshimiwa Deidi Hautala ambapo wamezungumzia masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano na maendeleo wa nchi hizi mbili.
Katika mazungumzo hayo Dk. Bilal alimweleza Waziri huyo hatua zinazochukuliwa na serikali ya Awamu ya Nne katika kufikia dira ya Taifa ya maendeleo 2025 ikiwa ni pamoja na kutekeleza kauli mbiu ya kilimo kwanza na kuhakikisha kila mtoto anapata elimu.
Alisema katika kutekeleza kilimo kwanza, serikali inafanya jitihada ya kuhakikisha maafisa ugani wa kutosha wanapatikana ili kusaidia wakulima vijijini kujua mbinu bora za kilimo cha kisasa na namna zitakavyowawezesha kuzalisha kwa tija.
“Hata hivyo, tunajaribu kuongea na taasisi za fedha waweze kuwasaidia wakulima kwa kuwapatia mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao,” alisema na kuongeza
“Tuna tatizo la soko kwani vijiji vingi havijaunganishwa na barabara, bado tunawapa msaada wa kutosha kuhakikisha mazao yao yanafika sokoni. Tunaamini kupitia kilimo kwanza tutawawezesha wakulima wetu kutoka kwenye kilimo cha mashamba madogo na kwenda kwenye mashamba makubwa ya biashara.”
The East African Business Council (EABC) has tasked its affiliated federations in the five EAC partner states to petition their Speakers of Parliament over representation in the East African Legislative Assembly (EALA).
Some of the contestants in the just-concluded EALA elections. Business operators want representation to the assembly. The New Times
According to the EABC Chairman Gerald Ssendaula, chances for the EABC to be represented in the upcoming EALA seem to be fading fast with all seats only going to political parties and special interest groups.
“Although opportunities for us to get there seem to be slim now, we shall continue to pursue our right, by requesting that the EAC treaty be amended to accommodate our demands – businesses need to be represented in EALA,” Ssendaula said yesterday.
However, when contacted, the Chief Executive Officer of the Private
Sector Federation (PSF), Hannington Namara, said that he was not aware of the move. But he said the Federation would happily push for an EALA seat.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kabwe Zitto, amesema tawi la chama hicho lililozinduliwa Washington nchini Marekani sio kijiwe cha kupanga madili bali kisima cha fikra na mawazo ya kujenga nchi.
Zitto ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni, aliyasema hayo jijini Washington alipokuwa akizindua tawi la Chadema nchini humo.
Alisema lengo la matawi hayo ni kupata fikra na mawazo yatakayoisaidia nchi na sio sehemu ya kufanya majungu ya kudanganya viongozi wakuu wa nchi wanaokwenda nchini humo.
“Matawi ya Chadema Washington DC sio kama ya CCM ambayo yakikaa yanawaza rais au waziri mkuu akija wamdanganye nini, wapeleke umbea gani au ‘kuchomana’ Watanzania wenyewe kwa wenyewe…hatutaki hayo; tunataka yawe kisima cha fikra na mawazo ya kuiendeleza nchi,” alisema.
Katika uzinduzi huo, Watanzania kadhaa waishio Marekani walichukua kadi za Chadema.
Naibu katibu mkuu wa chadema Zitto Kabwe akiwa na Mwenyekiti wa Chadema Washington DC Kalley Pandukizi.
The Ugandan Government will continue sensitising Rwandan refugees who remain in the country to ensure that they voluntarily repatriate, according to an official.
Newly arrived refugee from the Democratic Republic of Congo gather at the Nyakabande refugee transit camp in Kisoro town 521km (312 miles) southwest of Uganda capital Kampala, May 15, 2012. REUTERS/James Akena
John Paul Magezi, the head of the Refugee Protection Unit in the Ugandan Prime Minister’s Office, said more efforts were still required to extend the sensitization to all camps harbouring Rwandan refugees.
Magezi was in the country accompanying a group of 10 Rwandan refugees who are on “Come and See, Go and Tell” tour.
The campaign involves facilitating refugees representing others, to come to Rwanda, witness the situation firsthand before going back to tell the rest what they have seen.
This current group from Uganda comprises refugees from Kyaka II settlement in Kyegegwa district in western part of Uganda where more than 1,227 Rwandans are sheltered.
“We have been sensitising these refugees on voluntary repatriation and my government is committed to provide support to make sure that voluntary repatriation succeeds,” Magezi said.
Baada ya majadiliano ya mikutano miwili mfululizo kati ya wajumbe wa Executive Committee na Board of Directors, wote kwa pamoja Tumepitisha kipengele muhimu cha Jumuia yetu (Membership Fees and Registrations) kama ifuatavyo:
Registration (Membership Card) Itakuwa $ 15.00
Subscriptions (Monthly Installments of $10.00 for 12months) Njia za Malipo:
Tuma check or Money Order kwenye P.O. Box ya Jumuia
ATC DMV
P.O.BOX 10398
SILVER SPRING MD 20914
Tafadhali andika address yako kwenye bahasha ili tuweze kukutumia receipt yako pamoja na membership card mapema iwezekanavyo.
Kwa Njia ya Bank: PNCBANK
Account# 5313293767 Route# 054000030
Ukitumia njia hii tafadhali mpigie simu mweka hazina ili aweze kukutambua na kukupatia receipt yako mapema pamoja na membership card mapema iwezekanavyo.
Kwa maelezo zaidi kuhusu membership fees tafadhali contact viongozi wa Jumuia.
Iddy Sandaly-President Simu: 301-613-5165
e-mail: atcdmv@gmail.com Raymond Abrahamu-Vice President Simu: 301-793-4467
e-mail: uongozidmv@googlegroups.com
Amosi Peter Cherehani- Secretary Simu: 240-645-2131
President Barack Obama today paid tribute to the nation's fallen warriors during a moving ceremony at Arlington National Cemetery as America remembered its veterans through Memorial Day services throughout the country.
The president is participated in a wreath-laying ceremony at the Tomb of the Unknowns at Arlington National Cemetery near Washington, and is expected to marking the 50th anniversary of the Vietnam War at the Vietnam Veterans Memorial.
Mr Obama said during the Arlington service that 'for the first time in nine year our troops are not fighting and dying in Iraq' and that the war in Afghanistan is 'winding down'.
Scroll down for video
Taking a minute: Stephanie Montgomery traveled from Atlanta, Georgia to spend some time at the grave of her brother Sargent Thaddeus Montgomery at Arlington National Cemetery, where earlier in the morning President Barack Obama laid a wreath at the Tomb of the Unknowns and made some remarks to veterans' families
Heartbreaking: Karen Clarkson lies over the grave of her son Sargent Joel Clarkson who died in Afghanistan. She visited the Arlington grave after attending the National Military Survival Seminar held on Memorial Day
Point of view: Ricky Parada visited the grave of his little brother Nicolas D. Paradarodriguez who died in Afghanistan
All in the family: Janice Bryand and Col. Sally Stenton visit the grave of Bryant's husband Lt. Col. Frank Bryant Jr.
Standing in front of a crowd of members of the military and the families of veterans who died in various wars, the President acknowledged that the pain caused by war was felt by the families of fallen soldiers 'long after the guns have fallen silent'. In that vein, he said that mourners can be seen daily at Arlington National Cemetery daily, not just on Memorial Day.
Mr Obama spoke to an audience gathered under a brilliant sun, saying 'these 600 acres are home to Americans from every part of the country who gave their lives in every part of the globe.'
Showing respect: Chairman of the Joint Chiefs General Martin Dempsey (left), Defense Secretary Leon Panetta (center) President Barack Obama (right) during a prayer at the Arlington service
Hand on heart: President Obama stands next to Major General Michael Linnington, with First Lady Michelle Obama and Secretary of Defense Leon Panetta during the service at Arlington National Cemetery Monday morning
Support: Michelle Obama has made the needs of military families one of her priority issues during her time as First Lady
Memory: As is tradition, the President places a wreath at the Tomb of the Unknown Soldier during the ceremony
At attention: The ceremony was held leading up to the moment of silence in honor of fallen soldiers from all wars
Emotional: A woman wipes away a tear during the Arlington service (left) and President Obama gets choked up during his speech about the sacrifices made by soldiers and their families (right), making special mention that this was the first time in nine years that there were no American troops fighting in Iraq
'The Vietnam generation- my generation- is greying,' Mr Panetta said.
'Far too many Vietnam veterans their recognition came to late,' he said, referring to a number of posthumously-honored veterans. President Obama then took the podium, touching on the conflicting ideas that surround the Vietnam War.
'It speaks to the complexity of the war in Vietnam that even now historians cannot agree precisely when the war began,' he said. The consensus seems to be 1962, however, and those who returned home after the conflict faced mixed reactions.'You were often blamed for a war that you didn’t start, when you should have been commended for your valour,' Mr Obama said.
The members of the Security Council condemned in the strongest possible terms the killings, confirmed by United Nations observers, of dozens of men, women and children and the wounding of hundreds more in the village of El-Houleh, near Homs, in attacks that involved a series of government artillery and tank shellings on a residential neighbourhood.
The members of the Security Council also condemned the killing of civilians by shooting at close range and by severe physical abuse. The members of the Security Council extended their profound sympathies and sincere condolences to the families of the victims, and underscored their grave concern about the situation of civilians in Syria.
Such outrageous use of force against civilian population constitutes a violation of applicable international law and of the commitments of the Syrian Government under United Nations Security Council Resolutions 2042 and 2043 to cease violence in all its forms, including the cessation of use of heavy weapons in population centres. The members of the Security Council reiterated that all violence in all its forms by all parties must cease.
Those responsible for acts of violence must be held accountable. The members of the Security Council requested the Secretary-General, with the involvement of UNSMIS, to continue to investigate these attacks and report the findings to the Security Council.
Mjumbe wa Arab League na umoja wa mataifa nchini Syria Kofi Annan anakwenda kwa ziara yake ya pili mjini Damascus akitafuta njia za kuweka uhai katika mpango wake wa amani ,kufuatia mauaji ya kinyama nchini Syria.
Mauaji ya kinyama ya zaidi ya watu 100 nchini Syria yanaweza kuwa ni mwanzo wa kuwaweka katika njia panda rais Bashar al-Assad na mpatanishi wa kimataifa Kofi Annan. Wanadiplomasia wanasema ishara sio nzuri kwa juhudi za kila upande.
Baraza la usalama la umoja wa mataifa jana lilishutumu vikali kuhusika kwa serikali ya Syria katika mashambulizi ya makombora dhidi ya kijiji cha Houla . Taarifa yake hata hivyo haikuweza kuyaleta mataifa makubwa duniani pamoja katika azma ya kufikisha mwisho mzozo huo.
Marekani yashutumu
Marekani na mataifa ya Ulaya , wamesema kuwa mauaji hayo ni ishara mpya ya jinsi utawala wa Assad ulivyo wa kinyama. Ushahidi ni wazi na kuna ishara kamili ya uhusika wa serikali katika mauaji haya, amesema Peter Wittig , balozi wa Ujerumani katika umoja wa mataifa.
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imepiga marufuku mikusanyiko ya aina yoyote ikiwemo mihadhara ya aina mbalimbali ambayo hajapata kibali cha Serikali.
Akitoa taarifa ya Serikali,Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais ,Mohammed Aboud Mohammed amesema mbali na suala hilo,pia imewataka wananchi kuheshimu sheria.
Waziri Aboud amesema pia Serikali imeliagiza Jeshi la Polisi kuwatafuta na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wale wote waliohusika na fujo zilizotokea jana na leo katika mji wa Zanzibar.
“Serikali inakemea vikali vitendo vyote vya hujuma na uharibifu wa mali zilizofanywa katika taasisi za umma,Dini na watu binafsi” Alisisitiza Waziri huyo.
Serikali imetoa mkono wa pole kwa wale wote walioathirika na vurugu hizo ikiwemo Taasisi na wananchi kwa ujumla na imeahidi kuchukua hatua kali dhidi ya wale wote waliohusika kufanya vurugu hizo.
President Jakaya Kikwete is today set to officially open a five-day historic annual African Development Bank (AfDB) meeting here, which will be attended by ten Heads of State from African and European countries.
President Jakaya Kikwete
Ngosha Magonya who is the Commissioner of External Finance in the Treasury said the meeting will also bring on board 80 bank’s governors, more than 3,000 bankers and financial experts from across the world.
“This will be an important meeting to our nation and Arusha in particular, as it will explore a number of business opportunities for Tanzania’s small and medium enterprises,” he said.
Magonya said that some entrepreneurs will also benefit from the large number of people who will gather in Arusha as they will get time to go for shopping.
The official said the AfDB annual meetings will be held under theme: “Africa and the Emerging Global Landscape: Challenges and Opportunities”.
MAKANISA YACHOMWA, WABARA WATAKIWA KUONDOKA
Ma Salma Said, Zanzibar
ZANZIBAR imechafuka. Baada ya kuwapo kwa amani kwa takribani mwaka mmoja tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, vurugu na hali ya wasiwasi zimeibuka tena baada ya wanaharakati wa Kiislam kufanya maandamano kutaka uhuru wa visiwa hivyo.
Zanzibar ilijikuta katika hali tete kiusalama tangu mwaka 1995 baadaya kutangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu wa Rais, ambayo Chama cha Mapinduzi (CCM) kiilibuka kidedea na Chama cha Wananchi (CUF) kupinga, lakini uhasama huo ulizikwa Julai 31 mwaka 2010, baada ya kura ya maoni ya kuunda Serikali hiyo ya umoja wa kitaifa.
Lakini kuanzia juzi usiku hadi jana jioni mji wa Unguja na viunga vyake ulitikiswa na mabomu ya kutoa machozi ambayo polisi waliyatumia kutawanya mamia ya wanaharakati hao wa Kiislam wakiongozwa na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI).
Mabomu ya machozi yalipigwa mfululizo juzi usiku na kuendelea kutwa nzima jana, hivyo kuathiri shughuli za biashara, ibada katika makanisa mbalimbali na kusababisha hofu kwa wananchi.
The government is in the final stages of introducing a Land Authority whose duties, among others, will include dealing with land investments as well as establishment of a land bank and database.
Minister for Lands, Housing and Human Settlements, Prof Anna Tibaijuka.
By PIUS RUGONZIBWA
The Minister for Land, Housing and Urban Settlements, Prof Anna Tibaijuka, told the ‘Daily News’ over the phone at the weekend that the new arrangement is in the offing and will be detailed to make sure that land resources are utilized properly and investments made.
She said that the authority will also be responsible for ensuring that people evicted from their land to give way to investments or government uses will be handsomely compensated, according to world standards unlike the present situation.
“We are also set to introduce new resettlement schemes where land bearers moving out their areas to give way to public uses will be compensated at world standard levels. This will prompt land owners to release their land readily when the land is needed — instead of being forced to do so,” she said.
Kimbunga cha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chaikumba Washington DC
Uongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc kwenye meza ya juu wa kwanza kushoto Libe Mwangombe, akifatiwa na Mhe. Peter Msigwa, Mwenyekiti wa tawi Mhe. Kalley Pandukizi, Mhe. Zitto Kabwe, na Mhe. Nassari Joshua, Dogo Janja, mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University Of Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.
Mhe. Leticia Nyerere (Picha ya kwanza kushoto) akiwa na Mhe. Maryam Msabaha kwenye uzinduzi wa watawi la Chadema Washington Dc
Wantazania waishio DMV Nchini Marekani wakiwa katika uzinduzi wa tawi la chadema Washington Dc
Baadhi ya wakereketwa wachukua kadi baada ya uzinduzi wa tawi la chadema Washington
Mhe. Nassari Joshua (Dogo Janja) Akishanga mamia ya wana DMV waliofurika katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc
Mhe. Peter Msigwa akiandika masuali yaliokuwa yakiulizwa na baadhi ya wakireketwa
Mwanachama wa chadema kutoka Boston Ma na kamanda Doto wakiuliza masuali tafauti katika mpango mzima wa uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc uliofanyika jana Mei 27, kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.
Mhe. Zitto Kabwe akitoa hutba kuelezea mpango mzima wa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania
Wana DMV wakisikiliza hutuba ya Mhe. Zitto Kabwe. (Picha zote na swahilivilla.blogspot.com)
Viongozi wa Chadema wakijipanga mpango wa kuwapa wana DMV, kadi za chama
Wakereketwa wa Chadema wakiwa wameshikilia kadi zao za chama hicho
Mzee wa mipangilio a.k.a Cosmas akipata picha na Mhe. Zitto Kabwe, pamoja na wakereketwa
Mhe. Leticia Nyerere (Picha ya kwanza kushoto) akiwa na Idrisa Jumbe all the way from Dar na ni mdhamini wa pendo wa Mhe. Maryam Msabah ni Mbunge wa viti maalum Zanziba, pamoja na Mhe. Nassari Joshua (Dogo Janja) na mwana wa Mhe Leticia. Picha ya pili Kalley Pandukizi, Mwana Pamoja na Mh. Zitto Kabwe
Sikiliza kwa makini Audio na angalia Video ya Ufunguzi huo