If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Friday, November 19, 2010

MZEE YUSUF AWACHEZESHA MDUWARA MREMA, NA RAIS JK NA SHIBUDA DODOMA!


Hongera Mheshimiwa Rais" Mbunge wa Maswa Magharibi(CHADEMA) Mh.John Shibuda akimsalimia Rais Jakaya Kikwete wakati wa hafla ya kuwapongeza wabunge iliyofanyika katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana usiku.(Picha na Freddy Maro)

   
Mwenyekiti wa CCM Rais Dr.Jakaya mrisho Kikwete akilisakata rumba na Mwenyekiti wa TLP ambaye pia ni mbunge wa Vunjo Agustine Mrema wakati wa hafla ya kuwapongeza wabunge iliyofanyika katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana usiku. Kulia ni Mwimbaji wa Kundi la Jahazi Modern Taarab,Mzee Yussuf. (picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako