If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Sunday, June 26, 2011

SHAGGY AKIWAPAGAISHA WAZENJ KATIKA TAMASHA LA 14 LA NCHI ZA JANAZI UKUMBI WA MAMBO CLUB NGOMEKONGWE.

MWANAMUZIKI Shaggy akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach alipowasili Zanzibar kwa ajili ya kutowa burudani katika Tamasha la 14 la Nchi za Jahazi Zanzibar.

MKURUGENZI wa ZIFF Martin Mhando akitowa maelezo ya ujio wa mwanamuzi kutoka Marekani Shaggy alipokuwa akizungumza na Waandishi katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Mazizini nje kidogo ua Mji wa Zanzibar.

MWANAMUZI Shaggy akisaini kitabu cha wageni katika hoteli ya Zanzibar Beach kabla ya kuogea na waandishi kutokana na Onesho lake usiku wa jana.

Masharubaro wakiwa nia picha kwa ajili ya kumbukumbu alipowasili katika viwanja vya hoteli ya Zanzibar Beach kwa mahojiano na Waandishi.

Shaggy akiaza vitu vyake juu ya jukwa la ZIFF

Shaggy akilishambulia Jukwaa la ZIFF akitowa burudani kwa wapanzi wake waliofika kumuona katika ukumbi wa mambo club, kiingilio cha onesho hilo kilikuwa shillingi 15,000/=

Hivi ndivyo ilivyokuwa katika Ukumbi wa Mambo Club usiku wa jana kwa wapenzi wa Shaggy.

Wapenzi wa muziki wakipika mayowee kumshangilia Shaggy anavyo katika katika jukwaa!

Wageni wakitalii pia walihudhuria kwa wingi kwenye ukumbi wa Ukumbi wa Mambo Club  kwa wapenzi wa Shaggy.

Vijana wakionesha show katika tamasha la Nchi za Jahazi wakati mwanamuziki kutoka Marekani Sheggy akifanya mavitu yake.

Shaggy alivyokuwa akiimba kwenye  Jukwaa la ZIFF ukumbi wa Mambo Club siku ya ijumaa June,24,2011 kisiwani Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Maoni yako