If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Saturday, September 24, 2011

Picha za Mazishi ya Marehemu Mina Said Omari

Jeneza la Marehemu Mina Said Omari likipelekwa ndani ya msikiti wa Islamic Society uliopo Frederick, Maryland.

Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Mina Said Omari, aliyefariki siku ya Jumatano Sept 21, 2011 saa 4 usiku (10pm) Frederick Memorial Hospital likiwa ndani ya msikiti wa Islamic Society uliopo Frederick, Maryland kwa ajili ya kusaliwa.

Ndugu jamaa na marafiki wakiwa ndani ya msikiti wa Islamic Society uliopo Frederick Maryland

Waumini wa kiislamu wakijitayarisha kwaajili ya sala ya jeneza

Bi Hawa Hemed kutoka Columbus, OH akiwa kwenye msiba wa Marehemu  Mina Said Omari.

Waumini wakitoka msikitini baada ya sala ya ijumaa pamoja na sala ya maiti tayari kuelekea makaburi ya Al firdaus Memorial Gardens yaliyopo bara bara ya New Design, Frederick, Maryland.

Mama mzazi wa marehemu Mina Said Omari, watatu kutoka kushoto Bi Zam Zam Maalim Rashid akiwa na Waheeda Margaret Gathesha (kulia) na  Mama Raju Tambwe nje ya msikititi wa Islamic Society uliopo Frederick, Maryland nchini Marekani.


Eneo la kaburi alipozikiwa marehemu




















4 comments:

  1. Tunamshukuru M/Mungu kwa kufanikisha mazishi ya dada yetu Mpendwa Marehemu Mina Said Omari Mola amjalie Makaazi Meema peponi Insha'Alla Amin

    ReplyDelete
  2. Assallam Allykuim ummma wa kiislam
    Napenda kwanza kumshukuru mola wangu kwa kunipa hatua ya kukamata kalamu na kutoa maoni yangu kuhusu na msiba wa ndugu yetu mpendwa Marehemu mina Said Omar , Mola wetu ametupa roho na uhai na maisha ya katika dunia hii na pia ametupa mauti ambayo hatimaye kifo kwa waja wake kifo cha dada yetu hakika kimetokana kwa uwezo wa allah kareem na hivi sasa amefika mbele ya haki kama wengine waliotangulia mbele yake tunatakiwa kumuombea duwa ili mwenyezi mungu kumuondeshea adahabu ya kaburi na kumpa amali njema ya pepo katika siku ya mkusanyiko wa umma wa kiislam , picha zinazojionesha hapo juu hakika ni mfano halisi ambao kila mmoja hapa katika dunia anaweza kukabiliana na hatima hiyo tunatakiwa waumini wote kujiweka tayari wakati popote bila ya kurudi na mshikamano wetu ndio muhimu katika kujiweka pamoja katika mambo ya misiba ambayo inaweza kutoa hapa Marekani katika majimbo yoyote tumuombe Allah atupe muafaka mwema na kujikusanya tena kwa lolote linaloweza kujitokeza kwa muislam yoyote na wale wote waumini wa dini nyengine kutoka Tanzania umoja wetu hapa Marekani ni mshikamano wa upendo katika kukabiliana na mambo muhimu ya misiba , maradhi na majukumu mengine
    Allah atupe afya njema na kutuonesha njia nzuri katika mambo mengine ya kijamii
    Wasallam Allykuim

    AMIN ALLY
    BELLEVUE WA

    ReplyDelete
  3. Mungu amlaze mahali pemapeponi Amina.

    ReplyDelete
  4. Amin Amin kwa maneno yako mazuri ya kuweka ukumbusho zaidi kwa jambo hilo kwa ni lamoja tu bali ni letu sote muhimu zaidi tuwe na umoja, ushirikiano,na ustahi wajamii kwani bila ya jamii yetu tuipendayo tusingefanikisha jambo hili kwa kiurahisi na kwa kiimani ya dini yetu. shkran pia dada wa swahili na swahili kwa dua zako Amin

    ReplyDelete

Maoni yako