If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Tuesday, May 22, 2012

Airtel yaja na viwango vipya nafuu vya kupiga simu kwa wateja wake wakiwa Zanzibar

Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akifafanua jambo kwawaandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa viwango vipya nafuu vya mawasliano kwa wateja wa Airtel walioko zanziba (unguja na Pemba) ofa hiyo itajulikana kama Airtel Nusu shilingi na itawawezesha wateja wa Airtel kuongea kwa Gharama nafuu kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku kwa NUSU shilingi tu kwa sekunde , na kuanzia saa 4 usiku hadi 11.59 asubuhi ni ROBO shilingi tu kwa sekunde Airtel-Airtel Pia wateja watafaidika na kupata huduma ya Internet bure usiku, wapili kushoto ni Meneja Mauzo wa Airtel kanda ya Pwani Bi Aminata Keita.

Wakwanza kushoto ni meneja Mauzo wa Airtel Zanzibar Hagai Samson na Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando wakifafanua jambo kwawaandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa viwango vipya nafuu vya mawasliano kwa wateja wa Airtel walioko zanziba (unguja na Pemba) ofa hiyo itajulikana kama Airtel Nusu shilingi na itawawezesha wateja wa Airtel kuongea kwa Gharama nafuu kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku kwa NUSU shilingi tu kwa sekunde , na kuanzia saa 4 usiku hadi 11.59 asubuhi ni ROBO shilingi tu kwa sekunde Airtel-Airtel Pia wateja watafaidika na kupata huduma ya Internet bure usiku, wakwanza kushoto ni Meneja Mauzo wa Airtel kanda ya Pwani Bi Aminata Keita

Picha na habari zaidi bofya hapa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako