If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Wednesday, May 16, 2012

Will Smith na Jay-Z wamuunga mkono Obama kuhusu ndoa za jinsia moja

   
Jay-Z na Will Smith wameunga mkono mawazo ya Barack Obama kuhusu kusupport ndoa za jinsia moja nchini Marekani.

Will alisifia tamko la Obama kuwa ni la kijasiri katika mwaka wa uchaguzi nchini Marekani.

"Kama mtu yoyote akipata mtu wa kuwapenda na kuwasaidia katika kitu hiki kigumu kiitwacho maisha, ntamuunga mkono kwa namna yoyote"alisema Will alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mjini Berlin.Kwa upande wake Jay-Z anaamini kuwa wapenzi wa jinsia moja wanapaswa kuwa na haki ya kuoana.

"Nadhani ni jambo la haki kufanya.... hata kama itamnyima kura ama la. Nimekuwa nikifiria hiki ni kitu kilichokuwa bado kinairudisha nyuma nchini" alisema Jigga.

Tamko hilo la Barack Obama limepokelewa kwa hisia tofauti Marekani na kwingineko duniani huku wengine wakimpinga vikali.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako