If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Tuesday, June 5, 2012

ABIRIA 10 WAFARIKI NA WENGINE 19 WAJERUHIWA


Basi aina ya Coaster lililokuwa linatokea Jijini Mbeya kuelekea Wilaya ya Kyela Muda mfupi baada ya Ajali kutokea.

  
Gari la Mizigo ambalo limehusika na ajali hiyo likiwa pembeni muda mchache baada ya ajali hiyo kutokea.(Picha ya kulia maelezo) Baadhi ya waandishi wa Habari wakiwa Hospitali ya Rufaa Jijini Mbeya muda mchache uliopita.

Mmoja wa majeruhi ambae ameshapata matibabu.

Polisi wa usalama wa Barabarani wakiwa katika hospitali ya Rufaa Mbeya(Picha na Joseph Mwaisango wa Mbeya Yetu).

Abiria 10 kati ya 30 waliokuwemo katika Coaster iliyokuwa ikitokea Uyole jijini Mbeya, kuelekea Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wanadhaniwa kufariki na wengine 19 wamejeruhiwa na kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa iliyopo jijini hapa baada ya kugongana uso kwa uso na gari la mizigo aina Lori.

Tukio hilo limetokea eneo la kona huko Igawilo ambalo, jiji hapa ambapo abiria 8 na dereva wa Coaster wamefariki wakati katika gari ya mzigo mtu mmoja naye amefariki......

No comments:

Post a Comment

Maoni yako