If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Sunday, July 22, 2012

Epiq Bongo Star Search yasaka washiriki Club Vybes, jijini Mbeya

Maji wa EPIQ BSS wakiwa wamesimama kimya kwa dakika mbili ili kutoa heshima kwa watu waliopoteza maisha katika ajali ya Boti ya MV Skagit iliyozama juzi huko Zanzibar kabla ya kuazan kwa usaili wa vijana watakao shiriki shindano hilo kutoka Mkoani Mbeya ambapo zoezi linafanyika kwa siku mbili Julai 21-22, 2012 katika ukumbi wa CLUB VYBES mjini Mbeya. Majaji hao kutoka kushoto ni Salama Jabir, Madam Ritha, Masta J na Meneja Mawasilino wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Awaichi Mawala.

Vijana kibao wa mjini Mbeya wamejitokeza kuwania nafasi ya kuwakilisha mkoa huo katika shindano la EPIQ BSS mjini Mbeya na hapa ni vijana waliofika Club Vybes katika usaili wakibandika namba zao.

Baadhi ya washiriki waliojitokeza katika usaili huo wakiwasikiliza maelekezo kutoka kwa wasimamizi kabla ya kwenda mbele ya majaji.

Vijana wakijipanga mistari kwenda kupokea namba na huku wengine wakiondoka baada ya kupata namba zao na wanasubiri kwenda kushuka mistari yao kwa majaji. Kwa picha nyengine na maelezo zaidi bofya hapa.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako