If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Monday, December 17, 2012

WATAFITI WA NIMR WAWEKANA SAWA NA WANAHABARI JUU YA KUFIKISHA TAARIFA ZA UTAFITI KWA WANANCHI

Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ambaye pia ni Mtafiti Mkuu Kiongozi, Dk. Leonard Mboera kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) akizungumza wakati wa Warsha ya siku mbili kati ya Waandishi wa Habari na Watafiti wanasayansi nchini Tanzania juu ya namna ya uandikaji taarifa za kiutafiti sambamba na namna watafiti wanavyotakiwa kuandaa taarifa zao za utafiti ili ziwafikie wananchi. Warsha hiyo ilifanyika Mo Makuu ya NIMR mwishoni mwa wiki.

Mtafiti Mwanasayansi Dk. N Range kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) akizungumza jambo wakati wa Warsha hiyo ya Siku mbili jijini Dar es Salaam mwisho mwa wiki iliyopita.

Washiriki mbalimbali ambao ni wtafiti wanasayansi pamoja na Wanahabari wakiwa katika Warsha hiyo.

Meneja Mahusiano wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Coletha Njelekela akizungumza wakati wa Warsha hiyo ya Siku mbili iliyowakutanisha Wanahabari na Wanasayansi Watafiti kutoka NIMR mwisho mwa Wiki Iliyopita.

Kwa taswira zaidi tembelea .mrokim.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Maoni yako