
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ambaye pia ni Mtafiti Mkuu Kiongozi, Dk. Leonard Mboera kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) akizungumza wakati wa Warsha ya siku mbili kati ya Waandishi wa Habari na Watafiti wanasayansi nchini Tanzania juu ya namna ya uandikaji taarifa za kiutafiti sambamba na namna watafiti wanavyotakiwa kuandaa taarifa zao za utafiti ili ziwafikie wananchi. Warsha hiyo ilifanyika Mo Makuu ya NIMR mwishoni mwa wiki.

Mtafiti Mwanasayansi Dk. N Range kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) akizungumza jambo wakati wa Warsha hiyo ya Siku mbili jijini Dar es Salaam mwisho mwa wiki iliyopita.

Washiriki mbalimbali ambao ni wtafiti wanasayansi pamoja na Wanahabari wakiwa katika Warsha hiyo.

Meneja Mahusiano wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Coletha Njelekela akizungumza wakati wa Warsha hiyo ya Siku mbili iliyowakutanisha Wanahabari na Wanasayansi Watafiti kutoka NIMR mwisho mwa Wiki Iliyopita.
Kwa taswira zaidi tembelea .mrokim.blogspot.com



No comments:
Post a Comment