Rais Jakaya Kikwete ametoa pole kwa waumini wa makanisa yaliyochomwa moto na kuharibiwa katika eneo la Mbagala, Dar es salaam, akisisitiza kuwa wote waliohusika katika vurumai hizo na uharibifu huo na wale waliowatuma watashughulikiwa ipasavyo na serikali.



No comments:
Post a Comment