If you need it, we can provide: • USA 24 hours Passport service • Rush and emergency USA passport • Expedited Visa process for U.S. & foreign countries • Document Authentication •Document Legalization..For more information please contact us at: 703-286-7713

http://swahilivilla.blogspot.com/2014/01/mahojiano-na-faria-zam-kuhusu-msaada-wa.htmlKwa kuchangia chochote kile alichonacho kupitia Hilmy Disability Charity Organisation. Wasiliana na Mkurugezi wa Hilmy Disability Charity Organisation. Faria Zam. kwa UK Number ya Simu. 745-501-4372 Au Abou Shatry. U.S.A No' 301-728-3977

 http://www.dickysmallsauto.com/

DICK SMALLS AUTO MOTIVE WE CAN HANDLE ALL OF YOUR REPAIR AND SERVICE NEEDS INCLUDING CALL US NOW!(301) 931-3300. 10111B BACOCON DRIVE,BELTSVILLE,MD 20705


Monday, April 1, 2013

Angalia na Sikiliza kwa Makini MJADALA: Mustakabali wa Jumuiya za waTanzania baada ujio wa matawi ya vyama vya siasa DMV

Mjadala Shehemu ya kwanza na ya ya pili kuhusu mustakabali wa Jumuiya mbalimbali za waTanzania katika DIASPORA baada ya kufunguliwa kwa matawi ya vyama mbalimbali vya siasa katika nchi husika.

   
    
    
Pichani ni washiriki katika Mjadala huu Bwn. RAYMOND ABRAHAM Makamu Rais. Jumuiya ya waTanzania DMV (Picha ya kwanza Kushoto) akifuatiwa na Bwn. LIBERATUS MWANG'OMBE Katibu Mstaafu wa Tawi CHADEMA DMV, Bwn. GEORGE SEBO Mwenyekiti Mpya wa  (Tawi) CCM DMV, Bwn. YACOB KINYEMI Katibu wa Tawi CCM. DMV, Bwn. IDDI SANDALY Rais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, akifuatiwa na Bwn. KESSY JANABI Rais Mstaafu wa Jumuiya DMV, Bwn. YUSUPH M. YUSUPH Mwenyekiti wa Jumiya ya kiIslamu, TAMCO, pamoja na Mch FERDNAND SHIDEKO The Way of The Cross Gospel Ministry na wa mwisho kabisa ni Muongozaji wa Mjadala Mubelwa Bandio

Katika mjadala huu uliohusisha wakazi wa Washington DC na vitongoji vyake (DMV), washiriki wanajaribu kujadili namna tulivyofika hapa na pia namna ya kuweza kujinasua toka katika hii dhana ama hali halisi ya TATIZO la mgawanyiko unaoanza kujitokeza kutokana na ITIKADI miongoni mwa waTanzania.

Karibu uungane nasi


No comments:

Post a Comment

Maoni yako